gospel singer Rose Muhando visited the church led by pastor James Ng'ang'a

 

Four years after the dramatic exorcism, gospel singer Rose Muhando visited the church led by pastor James Ng'ang'a. She was there to perform in the church's choir.
 

 

During her testimony at the Neno Evangelical Center, Muhando pondered the exorcism that had been performed on her.
 

 

The Tanzanian woman claimed that God had directed her to pastor Nganga's church, where she received the necessary spiritual assistance.


“Nlipita kote lakini bwana alinileta hapa. Lakini wakati nliondoka nyumbani nliondoka nkiwa nimeishi kwa hofu kubwa. Nilipofika ofisini baba (pastor Ng’ang’a) akaniambia hutaimba, Bwana ameniambia umeibiwa hauko. Ndo aliambia kabla ya kunileta hapa kwa kuniombea.



"Aliniambia Bwana ameniambia hauko, na amenionyesha kila kitu unaomba twende nkakuombee. Nadhani muliona hakuongea mambo mengi lakini aliniita tu hapa kuniombea. Aliponiombea, ile kitu munaona ilienda viral. Lakini asante Yesu, iwe ilienda kwa ubaya, iwe ilienda kwa uzuri, lakini ilifanya watu wakajua shida yangu na wakaniombea. Na walipomba Bwana akaskia kutoka mbinguni na sasa nko mzima naendelea vizuri sana,” Rose Muhando said. 


“Lakini ile kitu (video) ilienda ata nyinyi muliona ilienda kwa ubaya sana sindio? Ilienda kwa ubaya, ilifanya vibaya lakini kumbe Mungu katika ule ubaya Mungu alikusudia uzima wangu. Nani angejua nko mgonjwa aombe kama sio ile? Nani angejua Rose anashida kama sio hapa? Hapo ndipo palipo sababisha watu wote wakajua shida yangu, kanisa likajua shida yangu, likaomba na kutoka kwenye kiti ya enzi Mungu akaskia akanisimamisha tena,” she added.


"Naomba niseme hivi, nimepita na yangu lakini nisimalize huu mwezi, nisianze huu mwaka kabla sijakanyaga hapa kushukuru na Bwana akaniambia nije niseme asante. Nimekuja hapa kukushukuru na nimesema asante kwa sababu kwa mikono yako Bwana alifanya uzima ndani yangu. Mungu akubariki sana, kanisa Mungu awabariki sana. Pole najua ulipitia mengi kwa sababu yangu, lakini nani angebeba hii kama sio wewe. Ulibeba kama baba, na ulisimama kama baba na leo nimekuja kushukuru kama baba. Asante sana na Mungu akubariki," Rose Muhando said.

 

After the video of the exorcism went viral, the Tanzanian gospel singer apologized again to pastor Ng'ang'a, claiming that he was to blame for his predicament.
 

 

In November of 2018, a video surfaced online depicting Pastor Ng'ang'a "casting out demons" from a woman named Rose Muhando. This resulted in widespread condemnation of the pastor.
 

 

A video of unknown origin that appeared online showed the Tanzanian musician giving the appearance of being possessed by "demons."
 

 

In the video, Pastor Ng'ang'a of Neno Evangelism Center is seen "exorcising the devils" from the singer at the location of the church where they both worship.
 

 

In the video, the flamboyant Pastor Ng'ang'a can be seen calling Muhando to the pulpit and beginning to pray in order to "throw out the devil" that are located inside her.
 

 

While the minister is doing the exorcism, Muhando, who had a bandage on her right hand, falls to the ground and begins rolling with the "demons" in her. She seems to be blaming her former manager, Alex Msama, for the singer's current and past difficulties while rolling. 


Post a Comment

What is your say on this

Previous Post Next Post