Nyota Ndogo back to her old Mzungu photo



Coastal music artist Nyota Ndogo dumps her new catch back to talking terms with her husband Hunning Neilsen, months after he went damp on her over unexpected April fool’s day prank.

Nyota Ndogo said that her Hubby began chatting to her after seeing her cosy photos with fellow musician P-Day.

“Haya maisha bwana hayataki hasira kabisa. Yani mimi huyu ameninunia toka April lakini sheria za dini yetu kidogo anazikumbuka. So kwaufupi huyu baba kila mwezi ananitumia hela za matumizi yangu KAMA mke wake japo haongei. Am sorry @officialpday_hurrikane mume wangu amerudi tu baada ya kuona picha zetu tukiwa hoteli tumeshikana mauno na ndio ameleta Sasa zogo na Kusema hajaniwacha na siwezi ku move on kama sijapewa talaka na hajawacha kuniudumia" she said.

The singer disclosed that her husband also made it clear that he has not dumped her despite months of no see.

“Shida yangu mimi ni kunyamaziwa miezi yote. Yani @pday wewe ndio umesababisha huyu mbabaa aongee? Kwaivyo alitaka niishi kama mti?. SABABU YA MIMI KUWACHA KUPOST PICHA ZAKO VIDEO TULIOFANYA PAMOJA NI KUA HUYU MBABAA AMENIKATAZA. nitajaribu kuipush kivyengine. Kimimi naona naishi tu kama mti. WAKATI ATAKAPO AMUA KUJA KENYA NDIO NITASEMA NINA MUME KAMILI SAIZI NAONA KAMA 50 50.maana hajasema anakuja ama haji na mimi nimechoka kubembelezana Sasa...... @pday picha zetu na video ndio zimemuuma huyu mume wangu kufunguka. Naskia vibaya Kua nimeshindwa kupost video yetu” added Nyota Ndogo.

Nyota Ndogo back to her old Mzungu photo



In July, the coastal songstress shared a screen of her conversation with Hunning, after he confided that he misses his wife.

" Jamani amkeni Leo nakesha nimeblue tikiwa na nikaitwa wife amenimiss jamani amkeni. Nimeshindwa lakujibu naanzaje kujibu jamani silali Leo ntaangalia tu huu ujumbe...... Yenyewe mume wangu nilimsave sabuni Ya Moyo wangu. Weuweeeeeeeeeee amerudi but nianze kwa kumuuliza nini?Tena picha yangu bado ni profile yake” said Nyota Ndogo.

On May 22, Nyota flew to Denmark in goal to save her marriage that was on the rocks.

At that particular time, she made it clear that she will fight for her marriage until the last minute, despite being engraved ‘desperate’ by some Kenyans on Social Media.

Post a Comment

What is your say on this

Previous Post Next Post